.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumamosi, 19 Aprili 2014

RAIS OBAMA ATIASAINI YA KUWANYIMA VIZA MABALOZI WA UN WATAKAOJIHUSISHA NA VITENDO VYA UGAIDI

                                    Balozi wa Umoja wa Mataifa Hamid Aboutalebi

Rais Barack Obama wa Marekani ametia saini kuwasheria hatua itakayowazuia kuingia Marekani balozi yeyote wa Umoja wa Mataifa, ambaye Marekani itasema amejihusisha na vitendo vya kigaidi.
 
Sheria hiyo ni katika kumdhibiti mjumbe wa Umoja wa Mataifa wa Iran, anayehusishwa kusaidia wapiganaji wanafunzi ambao walivamia Ubalozi wa Marekani nchini Iran mnamo mwaka 1979. Marekani imemkatalia kumpa viza balozi huyo Hamid Aboutalebi viza.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni