Safari hii mwanariadha Usain Bolt, ambaye ndiye binadamu mwenye mbio za kasi kuliko wote duniani za mita 100, amesema Bale ni mwanasoko mwenye mbio za kasi zaidi duniani kwa hivi sasa.
Bolt
amesema Bale alifunga goli hiyo la ushindi katika dakika za mwisho kwa staili
ya uanariadha na kwa kasi ya hali ya juu ambayo hamna mwanasoka anayeweza
kuifikia.
Mwanariadha wa Jamaica Usain Bolt
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni