Ijumaa, 18 Aprili 2014
KATIBU MKUU WA CCM NDUGU KINANA AMALIZA ZIARA MKOA WA KATAVI
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akikagua mradi wa ujenzi wa nyumba zinazojengwa na Shirika la Nyumba la Taifa katika wilaya ya Mpanda mkoani Katavi ambapo nyumba 70 zimekamilika kati ya 90 zitakazojengwa wilayani hapo.
Nyumba za Shirika la Nyumba la Taifa zinazojengwa katika wilaya ya Mpanda mkoani Katavi.
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akishuka kwenye ngazi baada ya kukagua mradi wa maji wa Ikorongo,Katibu mkuu ameongozana na Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye na Mjumbe wa Halmashauri Kuu CCM Taifa Balozi Ali Abeid Karume,mradi huu utakamilika mwezi juni 2014.
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akishiriki kutandaza mabomba kwenye mradi wa maji wa Ikorongo wilayani Mpanda mkoani Katavi.
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni
(
Atom
)




Hakuna maoni :
Chapisha Maoni