Makumi ya raia waliohifadhiwa katika kambi ya Umoja wa
Mataifa nchini Sudan Kusini katika Mji wa Bor wameuwawa baada ya kushambuliwa
na vijana wenye silaha.
Maafisa wa Umoja wa Mataifa wanaolinda kambi hiyo yenye kuhifadhi raia wapatao 5,000, walijibu mapigo na kufanikiwa kuwalazimisha vijana hao wenye silaha kukimbia.

Hakuna maoni :
Chapisha Maoni