.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumamosi, 12 Aprili 2014

WATU 12 WAFARIKI DUNIA, 7 KATI YAO NI WASIMAMIZI WA UCHAGUZI HUKO INDIA

Watu 12 wamefariki dunia baada ya mabomu yaliyokuwa yametegwa na wafuasi wa Maoist kulipuka katika mji wa Chhattisgarh mashariki mwa India wakati nchi hiyo ikiwa katika uchaguzi. 

Bomu la kwanza lilipuka katika basi lililokuwa limewabeba wasimamizi wa uchaguzi katika wilaya ya Bijapur, na polisi imethibitisha watu 7 walifariki dunia papo hapo. Watu wengine kadhaa wamejeruhiwa. 

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni