Hatari lakini salama!! Dereva akiwa juu ya mti huku gari aina ya Land Cruiser Hard Top likiwa limezingirwa na maji. Mdau aliyetuma hii picha hajasema ni wapi
Gari hili linalosadikiwa kuwa la serikali likiwa limetumbukia katika shimo baada ya kupasuka kwa moja ya barabara za ndani. Mdau hajasema hapa ni eneo gani, huku wananchi wakiwa wanashanga tukio hilo
Hili ni daraja la Bunju - Bagamoyo ( sio lile lililokatika ) maji yakipita chini bila matatizo hii ni kutokana na kujengwa kwa kuzingatia viwango
Hapa ni maeneo ya Posta jijini Dar es Salaam




Hakuna maoni :
Chapisha Maoni