.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumamosi, 12 Aprili 2014

HILI NDIO JIJI LA DAR,IKINYESHA MVUA NI KUTAFUTANA

 Maji yakiwa yamejaa katika moja ya barabara inayoelekea Mikocheni Hospitali
 Magari yakipishana kwa tabu kutokana na barabara hii inayoelekea Mikocheni Hosapitali kutokea Zantel kujaa maji
 Maji yakiwa yameizingira nyumba hii maeneo ya Mbezi jijini Dar es Salaam
 Hili ni daraja la karibu na Rainbow maeneo ya Kawe, maji yakiwa yamejaa hadi juu na kulifanya lipitike kwa tabu
 Mkazi huyu wa Salasala, mkulima wa Mkange akiendesha gari kuelekea kwake huku akichukua matukio anayokutana nayo barabarani kutokana na mvua
Wananchi hawa wanaoishi Msasani Kinondoni wakiwa wamekaa juu ya nyumba yao kukimbia maji yaliyoingia ndani mwao huku wengine wakipita kwa tabu kufuatia mvua zinazoendelea kunyesha jijini Dar es Salaam

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni