Waziri Mkuu wa Uganda, Mh. Amama Mbabazi akiwa na mkewe Jacqueline pamoja na Mchungaji Tukwasibwe wa Kanisa la Karubaizi baada ya Misa ya Pasaka jana mjini Kampala Uganda.
Waziri Mkuu wa Uganda Mheshimiwa Amana Mbabazi amewataka watu wote wanaomzunguzia kuhusu kutaka kuwania nafasi ya Uraisi katika uchaguzi mkuu ujao waache kumzungumzia, napia hakuna wa kumzuia kama atafikia uamuzi wa kutaka kuwania nafasi yeyote ya kisiasa.
Akizungumza katika misa ya sikukuu ya Pasaka jana katika Kanisa la St. Endrew's Karubaizi wilaya ya Kanungu, Mh Mbabazi amesema siku akiwa na ndoto za kutaka kuwania nafasi yeyote ya kisiasa hatasita kutangaza hadharani nia yake hiyo
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni
(
Atom
)
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni