.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Alhamisi, 8 Mei 2014

BENKI YA BARCLAYS KUPUNGUZA WAFANYAKAZI 14,000 MWAKA HUU

Benki ya Barclays inatarajia kuwapunguza wafanyakazi 14,000 katika mwaka huu, huku nusu ya watakaopunguzwa wakitokea Ulaya, ikiwa ni mkakati mpya wa benki hiyo.

Idadi hiyo ni kubwa ikilinganishwa idadi ya makadirio ya awali ambapo ilisema itapunguza wafanyakazi 10,000 ama 12,000 katika mwaka huu.

Uwekezaji wa benki ya Barclays umekumbwa na mdororo kutokana na madeni ya serikali na kampuni na wafanyakazi watakaopoteza ajira 7,000 ifikapo mwaka 2016.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni