.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Ijumaa, 9 Mei 2014

DUNIA INANYEMELEWA NA TISHIO LA MVUA ZA EL NINO

Dunia inajianda kukabiliana na kile kinachotabiriwa kuwa ni mvua kubwa za El Nino ambazo hazijawahi kuukumba ulimwengu.

Kwa mujibu wa wataalam wa hali ya hewa duniani, hali hiyo ya mvua za El Nino inatarajia kuikumba dunia katika kipindi kisichozidi miezi miwili hivi.

Wataalam hao wamesema mvua kubwa za El Nino zitanyesha katika maeneo kadhaa duniani mwanzoni mwa mwezi Julai, ambapo mvua kubwa itanyesha katika baadhi ya kanda ikiwemo ya Afrika Mashariki.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni