.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Ijumaa, 9 Mei 2014

KUKOSA KOCHA KWAMUATHIRI ANDY MURRAY HUKO MADRID

Mchezaji tenesi Andy Murray amesema inawezekana anakosa muelekeo wakati huu ambapo hana kocha wa kudumu, baada ya kupoteza mchezo wake kwa pointi 6-3 6-2 dhidi ya Santiago Giraldo huko Madrid.

Murray aliachana na kocha wake Ivan Lendl mwezi Machi baada ya kuwa chini ya kocha huyo kwa miaka miwili na kufanikiwa kushinda michuano ya wazi ya Marekani na ya Wimbledon.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni