.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumanne, 6 Mei 2014

HOSPITALI YA KAIRUKI DAR YAANZA KUTOA HUDUMA YA UPASUAJI WA KUTUMIA MATOBO " LAPOROSCOPIA"

                                                           Madaktari wakiendelea na upasuaji.
Dokta Muganyizi Kairuki akifanya upasuaji huku akiangalia kwa kutumia      kamera maalum wakati wa kufanya operesheni.
Daktari Bingwa wa Upasuaji Dk. Muganyizi Kairuki (kushoto), akimfanyia operesheni mmoja wa wagonjwa waliolazwa katika hospitali ya Kairuki Mikocheni jijini Dar es Salaam, mwishoni mwa wiki, kwa kutumia aina mpya ya upasuaji ambayo hufanyika kwa njia ya matobo na husababisha uharibifu mdogo kwenye ngozi. Kulia ni Barbra Omondi na Grace Machiga.
Daktari Bingwa wa Upasuaji Dk. Muganyizi Kairuki (kushoto), akimfanyia operesheni mmoja wa wagonjwa waliolazwa katika hospitali ya Kairuki Mikocheni jijini Dar es Salaam, mwishoni mwa wiki, kwa kutumia aina mpya ya upasuaji ambayo hufanyika kwa njia ya matobo na husababisha uharibifu mdogo kwenye ngozi. Kulia ni Barbra Omondi na Grace Machiga.( Picha na Francis Dande )

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni