.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumanne, 6 Mei 2014

WAFANYAKAZI WA MATATU WAFIKISHWA KIZIMBANI TUTOKANA NA MILIPUKO KWENYE MABASI

Wafanyakazi watatu wa usafiri wa umma maarufu kama matatu nchini Kenya wamesomewa mashtaka ya kuhusika na mlipuko ya mabasi iliyotokea barabara ya Thika, siku ya jumamosi.

Watuhumiwa hao wamefunguliwa mashtaka ya kushindwa kuzuia tukio hilo lililosababisha vifo, na kuagizwa kutoa dhamana ya shilingi milioni 5 ya Kenya kila mmoja na kutoa vyeti vya mali yenye thamani ya shilingi milioni 5.

Mwendesha Mashtaka alimueleza Hakimu Mkuu wa Mahakama ya Makadara Emily Ominde kuwa wafanyakazi hao wa mabasi walishindwa kuwapekua abiria na kutoa fursa ya kupenyezwa milipuko iliyolipua mabasi.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni