.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumanne, 13 Mei 2014

JAJI KUTOA UAMUZI IWAPO OSCAR PISTORIUS AKACHUNGUZWE AKILI YAKE

Jaji anayesikiliza kesi ya mauaji inayomkabili mwanariadha Oscar Pistorius anatarajiwa kutoa uamuzi wa maombi ya upande wa mashtaka wa kumtaka mwanariadha huyo kuwa katika uchunguzi wa akili yake kwa muda wa siku 30.

Ombi hilo la upande wa mashtaka limekuja baada ya mtaalam wa akili jana kuiambia mahakama kuwa Pistorius amekuwa akiugua tatizo la kuwa na hofu.

Mwanariadha huyo mlemavu anayetumia miguu ya bandia amekanusha kumuu kwa makusudi mpenzi wake mwanamitindo Reeva Steenkamp Februari 14, mwaka jana.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni