Marekani imebainisha kurusha kifaa cha kunasa picha kutoka angani
katika nchi ya Nigeria katika kujaribu kubaini walipo wanafunzi
wasichana zaidi ya 200 waliotekwa na wapiganaji wa kundi la Kiislam
la Boko Haram.
Marekani pia itasaidia kutoa maumbo ya picha za huduma ya
satelaiti ya kibiashara na kwa serikali ya nchi ya Nigeria.
Hatua hiyo imekuja baada ya kutolewa kwa video za wasichana
wapatao 130, ambao Boko Haram wamesema watawatoa kubadilishana na
wapiganaji wao wanaoshikiliwa na serikali.
Kundi la Boko Haram liliwateka wanafunzi wasichana hao Kaskazini
mwa jimbo la Borno Aprili 14.
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni
(
Atom
)

Hakuna maoni :
Chapisha Maoni