.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumanne, 13 Mei 2014

RIO FERDINAND AJIPANGA KUONDOKA MANCHESTER UNITED MAJIRA YA JOTO

Beki Rio Ferdinand ataondoka Manchester United katika majira ya uhamisho ya kipindi cha joto, baada ya kutopatiwa mkataba mpya.

Kuondoka kwa beki huyo mwenye umri wa miaka 35, kutamaliza miaka 12 aliyokuwepo kwenye klabu hiyo ya Ol Trafford ambapo aliichezea michezo 454 na kuifungia magoli nane.

Ferdinand amesema baada ya miaka 12 mizuri akiwa Manchester United ameamua kuondoka klabu hiyo.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni