Kocha wa Timu ya Taifa ya Brazil, Luiz
Felipe Scolari, anatarajia kukabiliana na uchunguzi wa kosa la
uhalifu la kukwepa kodi nchini Ureno kutokana na madai ya kukwepa
kodi.
Scolari alifundisha timu ya taifa ya
Ureno kuanzia mwaka 2003 hadi 2008, na madai hayo yanadaiwa kuhusiana
na wakati huo.
Katika taarifa yake Scolari amesema
daima amekuwa akitoa taarifa za mapato yake katika nchi zote
alizowahi kufanyakazi.

Hakuna maoni :
Chapisha Maoni