.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumatano, 14 Mei 2014

JAJI AAMURU OSCAR PISTORIUS KUFANYIWA VIPIMO VYA AKILI YAKE

Jaji anayesikiliza kesi ya mauaji inayomkabili Oscar Pistorius ameagiza mwanariadha huyo kufanyiwa tathimini ya akili yake.

Jaji huyo amesema ushahidi wa mtaalam wa akili uliotolewa mahakamani hauwezi kubadilishwa hivyo uchunguzi wa kina unabidi ufanywe juu ya afya ya akili yake.

Waendesha mashtaka walitoa hoja kuwa ushahidi wa mtaalam wa akili uliodai kuwa Pistorius anatatizo la kuwa na hofu tangu akiwa mtoto, unapaswa kuthibitishwa kitabibu, wakati upande wa utetezi ukipinga kwa nguvu Pistorius kupimwa akili yake.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni