.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumatano, 7 Mei 2014

MAHAKAMA YAAMURU WAZIRI MKUU WA THAILAND AJIUZULU WADHIFA HUO

Mahakama nchini Thailand imetoa uamuzi wa kumtaka Waziri Mkuu wa nchi hiyo Yingluck Shinawatra kujiuzulu kutokana na kutumia vibaya matumizi ya madaraka.

Mahakama ya Katiba imetoa hukumu hiyo kwa kueleza kuwa Bi.Yingluck alikiuka sheria wakati alipomuhamisha mkuu wa usalama wa taifa wa nchi hiyo.

Uamuzi huo wa Mahakama umekuja baada ya kuwepo kwa mvutano mkubwa wa kisiasa nchini Thailand ambapo waandamanaji walikuwa wakiandamana kwa miezi kadhaa kumtaka Bi. Yingluck kujiuzulu.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni