Mbunge Zitto Kabwe kulia akimfariji Mbunge wa Ludewa, Deo Filikunjombe leo mjini Ludewa kwa kifo cha babake Mbunge Filikunjombe.
Naibu waziri wa maendeleo ya wanawake na watoto Pindi Chana na Mkuu wa wilaya ya Njombe Sarah Dumba kulia, kushoto ni mwenyekiti wa CCM Ludewa Bw Stanley Kolimba.
Mbunge wa jimbo la Ludewa Deo Filikunjombe kushoto akilitazama jeneza lenye mwili wa babake marehemu Frolian Filikunjombe likiingizwa ndani ya kanisa la RC Ludewa kwa ajili ya ibada ya mwisho kabla ya mazishi yaliyofanyika katika makaburi ya Ludewa mjini.
Kwa hisani ya Francis Godwin Blog



Hakuna maoni :
Chapisha Maoni