.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Ijumaa, 9 Mei 2014

MFANYAKAZI MMOJA AFARIKI DUNIA BRAZIL KATIKA UWANJA WA KOMBE LA DUNIA

Mfanyakazi mmoja amekufa baada ya kupigwa na shoti ya umeme katika uwanja utakaofanyika michuano ya Kombe la Dunia.

Mfanyakazi huyo amekufa katika ajali hiyo iliyotokea kwenye uwanja wa Arena Pantanal magharibi mwa mji wa Cuiaba wakati akifunga vifaa vya mawasiliano.

Hili ni tukio la kwanza kutokea katika ujenzi wa uwanja huo wa Cuiaba, hata hivyo wafanyakazi wengine nane wameshakufa kwa ajali wakati wakati wakijenga viwanja 12 vya Kombe la Dunia nchini Brazil.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni