.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumapili, 11 Mei 2014

MKE WA RAIS WA MAREKANI ALAANI KUTEKWA KWA WANAFUNZI WA KIKE HUKO NIGERIA


Katika hali isiyo ya kawaida Mke wa rais wa Marekani Michelle Obama ataongea na waandishi wa habari kwa niaba ya mumewe kushutumu tukio la utekaji nyara wanafunzi wakike nchini Nigeria.
Kwa kawaida mke wa rais wa Marekani huwa hajihusishi na mambo ya sera za nje za Marekani, lakini Michelle amekuwa mmoja wa watu wanaopiga kampeni ya kuachiwa wanafunzi hao haraka.

Kundi la Kiislam la Boko Haram limekiri kufanya utekaji huo wa wanafunzi zaidi ya 200, tukio ambalo limelaaniwa mno na watu mbalimbali duniani wakiwemo wakuu wa nchi za magharibi.


Hakuna maoni :

Chapisha Maoni