
Mwanamuziki Chris Brown atatumikia kifungo cha ziada cha siku 131 baada ya kukiri kukiuka kuwa na tabia njema wakati akiwa chini ya uangalizi.
Nyota huyo wa RnB amekiri katika mahakama huko Los Angeles hapo jana kufanya uhalifu kwa kumpiga mtu Jijini Washington DC mwezi October.
Brown amekuwa chini ya uangalizi wa mahakama tangu mwaka 2009 alipokiri kumpiga aliyekuwa mpenzi wake nyota wa pop Rihanna.
Brown amekuwa chini ya uangalizi wa mahakama tangu mwaka 2009 alipokiri kumpiga aliyekuwa mpenzi wake nyota wa pop Rihanna.
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni