.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Ijumaa, 9 Mei 2014

MVUA NI ADHABU JIJINI DAR ES SALAAM

Magari yakipita kwa shida katika barabara ya Uhuru jijini Dar es Salaam jana kufuatia mvua zinazoendelea kunyesha na kuwa kero kwa madereva na watembeao kwa miguu. Kutokana na miundombinu mibovu maji haya yamekosa pa kwenda na kutuama sehemu moja.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni