.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumamosi, 10 Mei 2014

RAIS KENYATTA AYAPONGEZA MAKUBALIANO YA KUMALIZA VITA SUDAN KUSINI

Rais wa Kenya, Mh Uhuru Kenyatta ( kushoto ), akipeana mkono na mmoja wa wanasiasa wa Sudan Kusini, Pagan Amum ( kulia ) walipokutana kwa mazungumzo mjini Nairobi May 08'2014. 

Rais wa Kenya, Mh Uhuru Kenyatta, amewapongeza mahasimu wa kisiasa, Rais wa Sudan Kusini, Salva Kiir na aliyekuwa makamu wake Riek Machar kwa kufikia makubaliano ya kusitisha vita vinavyoendelea nchini mwao. 

Rais Kenyatta amesema anafurahi kuona viongozi hao wamefikia makubaliano na sasa wanajukumu la kuwaunganisha wananchi wa Sudan Kusini.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni