Beki Sergio Ramos aliipatia Madrid bao
la kuongoza kwa mpira wa adhabu wa umbali wa yadi 25 na mpira kutinga
golini kwenye wavu wa juu.
Hata hivyo ikicheza bila Gareth Bale na
Cristiano Ronaldo, ambaye alitolewa nje baada ya kupata jeraha, Real
Madrid ilionekana kukosa makali yake.



Hakuna maoni :
Chapisha Maoni