.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumanne, 6 Mei 2014

SHANGAZI WA RAIS BARACK OBAMA ALIYEFARIKI DUNIA NCHINI MAREKANI AZIKWA LEO KISUMU

Shangazi wa Rais wa Marekani, Barack Obama, Zeituni Onyango amezikwa leo asubuhi katika makaburi ya Waislamu yaliyopo Kisumu, Kenya. 

Onyango amezikwa ikiwa ni masaa matatu tangu mwili wake uwasili katika uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Kisumu ukitokea Marekani alikofia.

Sheikh Musa Ismail katika maziko hayo alisema, wameupumzisha kaburini mwili wa Zeituni Onyango kama taratibu za dini hiyo zinavyosema.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni