.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumanne, 6 Mei 2014

RIDHIWANI KIWETE NA GODFREY MGIMWA WAAPISHWA BUNGENI MJINI DODOMA HII LEO


Spika wa Bunge,Anne Makinda na watendaji wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Wakiimba wimbo waTaifa kabla ya shughuli za Bunge kuanza mai 6, 2014. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

Mbunge wa Chalinze, Ridhiwani Kikwete akiapa, Bungeni Mjini Dodoma, Mai 6, 2014. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Mbunge wa Kalenga, Godfrey Mgimwa akiapa Buneni mjini Dodoma Mai 6, 2014. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

Mke wa Rais,Mama Salma Kikwete akiwa Bungeni Mjini Dodoma May 6,2014 wakati mwanae,Ridhiwani Kikwete alipoapishwa . Kulia kwake ni Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Dr. Rehema nchimbi.(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni