Shirika la Ndege la Etihad
limetambulisha ndege yake iliyosawa na hoteli ya nyota tano, ikiwa na
vyumba vitatu vya kifahari, bafu na chumba cha kulala.
Vyumba hivyo vinafanya mabadiliko
katika ndege ya Airbus A380 na Boeing B787 Dreamliner kuwa usafiri wa
anga wa kifahari na matanuzi.
Wakati abiria wengine wakihaha kuomba
waongezewe nafasi za kunyoosha miguu, wakazi wa vyumba vya ndege hiyo
mpya ya Etihad watakuwa wanatanua kama vile hawamo kwenye ndege kwa
gharama ya paundi 12,500.



Hakuna maoni :
Chapisha Maoni