.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Ijumaa, 9 Mei 2014

SILIVIO BERLUSCONI AANZA KUTUMIKIA ADHABU YA KUHUDUMIA WAZEE

Waziri Mkuu wa zamani wa Italia Silivio Berlusconi anatarajia kuanza kutekeleza adhabu ya kutumikia jamii katika nyumba ya kuwahudumia wazee karibu na Jiji la Milan.

Berlusconi alihukumiwa miaka minne jela kwa kukwepa kodi mwaka jana, na kubadilishwa kuwa adhabu kuwahudumia wazee waliopoteza kumbukumbu kwa muda wa saa nne katika makazi yao.

Makazi hayo ya wazee yanayomilikiwa na Kanisa Katoliki yamesema Berlusconi atachukuliwa kama wanavyochukuliwa wasaidizi wa kawada katika nyumba hiyo.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni