Leo ni miaka 10 tangu mwanamuziki mahiri wa Afrika Kusini, Brenda Fassie afariki Dunia.
Mwanamuziki huyo aliyejipatia umaarufu mkubwa kutokana na uimbaji wake na jinsi ya kushambulia jukwaa, alifariki dunia May 09' 2004 katika hospitali ya Sunninghil Kaskazini mwa Johannesburg.
Brenda Fassie alitamba na nyimbo zake mbalimbali zikwemo Vuli Ndela, Nomakanjani, Thola Amadlozi, Nakupenda, Too Late For Mama na nyinginezo nyingi.

Hakuna maoni :
Chapisha Maoni