.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Alhamisi, 8 Mei 2014

TIMU YA SOKA YA WANAUME YA CLERMONT YA UFARANSA YAMUAJIRI KOCHA MWANAMKE KUINOA TIMU HIYO

Mreno Hellena Costa atakuwa ni miongoni mwa makocha wa kike wenye historia kubwa Ulaya baada ya kutajwa kuwa kocha mkuu wa timu ya wanaume Clermont ya Ufaransa.

Costa aliwahi kufundisha timu ya ligi kuu ya Scotland Celtic, ameshawahi pia kuwa kocha wa timu ya wanawake ya Iran tangu mwaka 2012.

Kocha huyo mwenye umri wa miaka 36 pia amewa kuwa kocha wa timu ya wanaume ya vijana ya Benefica na timu ya wanawake ya Qatar.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni