Mkuu wa Polisi wa Limuru aliyevaa koti la rangi ya brown akiwa na maofisa wengine wa polisi wakati wakiwashusha watuhumiwa waliohusika na utengenezaji wa pombe haramu ya kienyeji na dawa za kulevya huko Limuru.
Watu 5 wamefariki dunia na wengine 11 wamelazwa hospitali wakiwa na hali mbaya huko Flyover Niavasha nchini Kenya baada ya kunywa pombe haramu iliyotengenezwa kienyeji.
Huu ni mfululizo wa vifo vilivyotokana na kunywa pombe haramu za kienyeji huko nchini Kenya, ambapo mpaka sasa zaidi ya watu 80 wamefariki dunia katika majimbo sita tofauti huku wengine zaidi ya 200 wakiwa wanaendelea kupatiwa matibabu hospitali.
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni
(
Atom
)

Hakuna maoni :
Chapisha Maoni