.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumatano, 14 Mei 2014

VIWANDA VINAVYOMILIKIWA NA WACHINA VYACHOMWA MOTO NCHINI VIETNAM

Viwanda kadhaa vimechomwa moto kufuatia maandamano yanayoipinga China katika eneo la viwanda la Kusini mwa Vietnam, na kuibua hali ya hofu Kusini mwa bahari ya China.

Uongozi wa eneo hilo la viwanda umesema viwanda vitatu vinavyomilikiwa na kuongozwa na wa China vimechomwa moto siku ya Jumanne, licha ya kutokuwepo na watu waliodhurika.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni