.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Alhamisi, 8 Mei 2014

WAASI WALIPUA HOTEL MJINI ALEPPO NCHINI SYRIA

Mlipuko mkubwa umetokea katika mji wa Kaskazini mwa Syria wa Aleppo na kuharibu kabisa hotel na majengo mengine ya kale yaliyokuwa jirani na hotel hiyo ya Carlton Citadel Hotel . 
 Inasadikiwa kuwa, mlipuko huo ulisababishwa na bomu lililowekwa kwenye handaki chini ya hoteli hiyo na baadaye kulipuliwa na waasi.
           Moshi mkubwa ukionekana angani baada ya kutokea kwa mlipuko huo.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni