.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Alhamisi, 8 Mei 2014

POLISI NCHINI BRAZILI WANZA MGOMO UNAOWEZA KUATHIRI FAINALI ZA KOMBE LA DUNIA.

Polisi wa majimbo nchini Brazil wameanza mgomo kuhusiana na madai yao malipo, na wametishia wataendelea na mgomo wao huo hata wakati wa fainali za Kombe la Dunia, mwezi ujao.

Msemaji wao afisa wa polisi Renato Deslandes, ameviambia vyombo vya habari kuwa karibu asilimia 40 ya polisi wameanza mgomo huo.

Amesema kuwa mgomo huo utaendelea iwapo serikali haitaongeza mishahara yao ili kuendana na kiwango cha mfumuko wa bei kilichopo sasa nchini Brazil.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni