Vyama vya wafanyakazi nchini Uturuki
vimetangaza siku moja ya maandamano wakati nchi hiyo ikiwa imekumbwa
na tukio baya la ajali ya mgodi iliyoua watu 274.
Maafisa wa vyama hivyo wamesema kuwa
ubinafsishaji wa hivi karibuni wa mgodi huo umefanya mazingira ya
kazi kuwa hatari zaidi.
Kufuatia ajali hiyo maambolezo ya
kitaifa ya siku tatu yanaanza hii leo.



Hakuna maoni :
Chapisha Maoni