Kapteni wa kivuko cha Korea Kusini
kilichozama amefunguliwa mashtaka ya kuua bila ya kukusudia.
Kapteni huyo Lee Joon-seok,
anatuhumiwa kwa kukiacha kivuko kikizama huku akiwaambia abiria
kutulia.
Kapteni Joon-seok alikuwa wa kwanza
kuokolewa, katika tukio la ajali hiyo Aprili 16, lililouwa abiria
281, wengi wao wakiwa ni wanafunzi, ambapo hadi sasa watu 23
hawajulikani walipo.

Hakuna maoni :
Chapisha Maoni