.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumamosi, 10 Mei 2014

WASONJO NA WAMASAI WAMALIZA TOFAUTI ZAO

                                                Vijana wa kabila la Wasonjo wakicheza ngoma
                              Wasonjo wakicheza ngoma wakati wa sherehe za usuluhishi
 Wamasai wakiwa katika sherehe za usuluhishi wa mgogoro baina yao na Wasonjo, uliosababisha mauaji na uharibifu wa mali.
 Wanawake wa jamii ya Wamasai na Wasonjo wakiwa pamoja baada ya wazee wa mila kusuluhisha mgogoro uliokuwa umesababisha uhasama mkubwa miongoni mwa wananchi wa jamii hizo mbili.
 Wananchi wa jamii ya Wasonjo na Wamasai wakiwa katika mkutano wa usuluhishi

Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM Mkoa wa Arusha, Bw Joseph Issac akiwa na laigwanani aliyeongoza kiapo cha usuluhishi wa mgogoro wa wamasai na wasonjo wilayani Ngorongoro.
              
Diwani wa kata ya Samunge, Jackosn Sandea akiwa na Diwani wa kata ya Olorien, Magaiduru Mohamed kuonyesha mshikamano baada ya kumaliza tofauti zao.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni