Rais wa Sudan Kusini, Salva Kiir akibadilishana hati za makubaliano ya kusitisha mapigano na mpinzani wake Riek Machar.
Rais wa Sudan Kusini na Kiongozi wa waasi, Riek Machar hatimaye wamekubaliana kusitisha mapigano yaliyodumu kwa miezi mitano nchini humo na kusababisha vifo vya mamia ya wananchi, na wengine wengi wakilazimika kuyakimbia makazi yao.
Katika makubaliano hayo ya kusitisha mapigano, pia wamekubaliana kusimamia vyema mchakato wa katiba na kuelekea katika uchaguzi mkuu. Mkutano huo ulifanyika Addis Ababa, Ethiopia.
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni
(
Atom
)


Hakuna maoni :
Chapisha Maoni