Watu 10 wamefariki dunia katika ajali iliyohushisha magari zaidi ya saba jumapili May 11'2014 nchini Kenya.
Katika ajali hiyo iliyotokea katika barabara kuu ya Nakuru-Eldoreti saa nane mchana, watu 7 kati ya 10 walifariki dunia papo hapo na wengine 3 walifariki baada ya kufikishwa hospitali.
Chanzo cha ajali hiyo ni kukatika breki za lori la mizigo ambalo liligonda mabasi matau matatu ya abiria " matatu ", kisha kuyagonga tena malori mengine mawili na baadaye kuyagonga magari madogo mawili.
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni
(
Atom
)

Hakuna maoni :
Chapisha Maoni