Jengo la kibiashara la Kibo Commercial Complex lililopo Tegeta jijini Dar es Salaam limekuwa ni kivutio kikubwa kwa wakazi waishio nje ya jiji kwani lina huduma zote muhimu ikiwa ni pamoja huduma za kibenki, maduka makubwa ya biashara na sehemu za burudani.
Uwepo wa majengo mengi kama haya pembeni ya jiji, itapunguza kwa kiwango kikubwa foleni za kuingia na kutoka katikati ya jiji kufuata huduma muhimu.


Hakuna maoni :
Chapisha Maoni