.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Alhamisi, 12 Juni 2014

JINSI NDIMI ZA MOTO ZILIVYOTEKETEZA SOKO LA MITUMBA LA KARUME DSM

     Moto mkubwa ukiteketeza Soko la Mitumba la Karume usiku wa kuamkia leo.
Hivi ndivyo moto ulivyokuwa ukiendelea kutia hasara kwa kuteketeza mali za wafanyabiashara wa Soko la Mitumba la Karume.

                                           Hata baada ya kucha moto uliendelea kuwepo
                                                              Hakuna kilichosalimika na moto huo
                         Wafanyabiashara wa Soko hilo wakikusanya mabaki ya mabati
                                                                  Mabango nayo hayakusalimika

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni