Waziri wa Fedha Mheshimiwa Saada Mkuya Salum ( Mbunge ) akiwasilisha Bungeni mjini Dodoma jana jioni mapendekezo ya serikali kuhusu makadirio ya mapato na matumizi kwa mwaka 2014/2015
Waziri wa Fedha wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, Mheshimiwa Omar Yusufu Mzee wakati akiingia katika ukumbi wa Baraza la Wawakilishi mjini Zanzibar kuwasilisha mapendekezo ya serikali kuhusu makadirio ya mapato na matumizi kwa mwaka 2014/2015
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni
(
Atom
)


Hakuna maoni :
Chapisha Maoni