Mwanamuziki Jennifer Lopez na Pitbullakitumbuiza kwa kuimba wimbo maalum wa fainali za kombe la Dunia, wakati wa sherehe za ufunguzi wa fainali hizo jana usiku nchini Brazil
Lopezi na Pitbull wakishambulia jukwaa mbele ya maelfu ya mashabiki waliofurika katika uwanja wa Arena de Sao Paulo jana
Muonekano wa mashabiki wa soka nchini Brazil
Warembo wa Brazil wakiserebuka wakati Jennifer Lopez alipokuwa akitumbuiza na wimbo maalum wakati wa sherehe za ufunguzi wa fainali za kombe la dunia usiku wa kuamkia leo katika uwanja wa Arena de Sao Paulo
Muonekano wa maelfu wa mashabiki waliofurika katika uwanja wa Arena de Sao Paulo wakati wa ufunguzi wa fainali za kombe la Dunia na baadaye kuruatia mechi kati ya Brazil na Croatia
Shamra shamra za sherehe za ufunguzi zilikuwa za aina yake
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni
(
Atom
)







Hakuna maoni :
Chapisha Maoni