Machungwa yakiwa yamepangwa chini eneo la Segera, njia panda ya kuelekea Tanga mjini - Korogwe. Kutokana na wingi wa machungwa, wafanyabiashara wa eneo hilo wanauza machungwa shilingi elfu mbili kwa kifurushi kimoja kilichofungwa zaidi ya machungwa 30.
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni