.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumanne, 3 Juni 2014

WAZIRI MPYA WA MAENDELEO YA VIJIJINI NCHINI INDIA AFARIKI KWENYE AJALI

Waziri mpya wa Maendeleo ya Vijijini nchini India Gopinath Munde amefariki dunia katika ajali ya gari katika mji mkuu wa nchi hiyo Delhi.

Munde alikuwa akielekea kwenye uwanja wa ndege kupanda ndege kurejea kwenye jimbo analoishi la Maharashtra wakati gari alilopanda lilipogongwa na gari lingine.

Marehemu Munde alichaguliwa wiki iliyopita kuwa Waziri wa Maendeleo ya Vijijini na serikali mpya ya Waziri Mkuu Narendra Modi.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni