Aliyekuwa Makamu wa Rais wa Uganda,
Gilbert Bukenya amesema ahitaji fedha yoyote ya serikali na kueleza
kuwa anafedha za kutosha za kujikimu yeye na familia yake.
Bukenya amelazimika kutoa kauli hiyo
mbele ya waandishi wa habari katika ofisi yake ya ubunge, kufuatia
kukera na repoti ya kuwa serikali imetumia milioni 500 kwa ajili ya
kumgharamia yeye.
Amesema kuwa haitaji fedha za
serikali kwa kuwa anafedha ya kumtosha kula na kuendesha biashara
zake, na pia ana magari ya kutosha ambapo ameeleza kuwa ana magari
tisa yaliyoegeshwa nyumbani kwake.
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni