Atletico Madrid imejitumbukiza
katika mbio za kumnasa mshambuliaji wa Ubelgiji mwenye asili Kenya,
Divock Origi kutoka Lille baada ya Liverpool kushindwa kukamilisha
mpango wa kumtwaa nyota huyo aliyeng'ara katika michuano ya Kombe la
Dunia.
Mabingwa hao wa La Liga wametenga
kitita cha paundi milioni 10 ili kujaribu kuziba pengo la Diego
Costa, ambaye ametia saini kuichezea timu ya Chelsea.
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni