Baada ya kunasa saini za wachezaji
Cesc Fabregas, Diego Costa na Felipe Luis, Kocha wa Chelsea Jose
Mourinho amesema hana mpango wa kuongeza mchezaji mwingine katika
kipindi hiki cha usajili.
Mourinho amesisitiza kuwa baada ya
kumaliza kufanya manunuzi ya wachezaji hao ilichobaki ni kuwapatia
nafasi ya kucheza kikosi cha kwanza wachezaji wa timu ya vijana ya
Chelsea katika msimu huu.
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni